Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Ally Nipishe aeleza kwanini nyimbo zake hazifanyi vizuri

Views:
Video Information
Msanii wa muziki aliyewahi kufanya vizuri na wimbo ‘My’, Ally Nipishe amefunguka kuzungumzia kitu ambacho kinafanya nyimbo zake nyingi za hivi karibuni zishindwe kufanya vizuri.

Ally Nipishe
Muimbaji huyo ameachia nyimbo nyingi hivi karibuni ambazo zimeshindwa kufanya vizuri.
Ally amedai nyimbo zake nyingi zimeshindwa kufanya vizuri kutokana na kukosa usimamizi.
“Unajua muziki umebadilika sana, unahitaji usimamizi mkubwa sana tofauti zamani,” alisema Ally Nipishe.”Kusema kweli ngoma zangu za zamani kama ‘My’ ilipata usimamizi mzuri sana tofauti na nyimbo zangu za hivi karibuni ingawa zinasimawiwa lakini bado hatujafika sehemu ambayo tunahitaji kufika,”
Muimbaji huyo ambaye yupo chini ya Papa Misifa, amedai kwa sasa anajipanga zaidi ya management yake ili kuhakikisha anarudi kwenye chati kama zamani.
Similar Videos