Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Picha,Rich Mavoko alivyokanusha tuhuma za kujichubua.

Views:
Video Information
mavoko 3


Msanii wa bongo fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua nakusema “Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .

Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua, wanaonijua watasema sijabadilika zaidi ya kung’aa tu“.
Similar Videos