Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Kiungo Wa Yanga SC, Athumani Iddi ‘Chuji’ Atua Azam FC

Views:
Video Information


Mabingwa wa Tanzania Bara,Timu ya Azam imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa kumsajili aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi ‘Chuji’
 Taarifa Hii imekua kama ya ghafla kiungo wa Yanga Athumani Iddi ‘Chuji’ kusemekana kijiunga na timu ya Azam Fc na asubuhi ya leo ameonekana akiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam.


Similar Videos