Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

KAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA SANAA TANZANIA AZINDUA CD YA WASANII KUHUSU KATIBA MPYA.

Views:
Video Information

Rais wa Shirikisho la Filamu
Tanzania (TAFF), Simon
Mwakifwamba, akizungumza
katika mkutano na waandishi
wa habari pamoja na wasanii
Februari 28,2014 katika ukumbi
vijana kinondoni jijini Dar es
Salaam, kuhusu viongozi
mbalimbali wa Sanaa hapa
nchini kwenda mkoani Dodoma
Bungeni kupeleka ujumbe wa
matakwa ya wasanii kuingizwa
katiba Katiba mpya. Kutoka
kulia ni Rais wa Shirikisho la
Muziki wa Injili, Addo
November, Kaimu Katibu
Mtendaji wa Baraza la Sanaa
Tanzania (Basata), Godfrey
Mngereza na Mwenyekiti wa
Mtandao wa Wanamuziki
Tanzania (Tamunet), John
Kitime.

Similar Videos