Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

MAN UNITED USO KWA USO NA SUNDERLAND LEO.

Views:
Video Information
MAN_U_93e2d.jpg
Timu ya Manchester United leo itaivaa timu ya Sunderland katika uwanja wake wa nyumbani wa Old Trafford katika mzunguko wa pili wa nusu fainali ya kombe la Capital One Cup, mshindi kati ya Manchester United au Sunderland atakumbana na Manchester City ambayo imeshafuzu hatua ya fainali itakayochezwa katika uwanja wa Wembley.
Sunderland iliutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani ''Stadium of Light'' baada ya kuitandika timu ya Manchester United magoli 2-1, hivyo timu ya Manchester United italazimika kushinda mchezo huo ili kutetea nafasi yao ya kutinga katika fainali hizo.
mechi hii itachezwa mida ya 10:45 PM kwa masaa ya afrika mashariki.
Chanzo, goal.com
Similar Videos