Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Iran yaonya matokeo nchini Syria

Views:
Video Information


 Jenerali wa daraja ya juu wa Iran ameionya Marekani kwamba matokeo yanaweza kuwa mabaya iwapo Marekani itapindukia ule aliosema, "mstari mwekundu" nchini Syria.  Matamshi hayo ya naibu mkuu wa jeshi la Iran, Massoud Jazayeri, yalifuata baada ya Rais Obama na waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, kukubaliana kwamba inafaa kujibu kwa uzito iwapo itagundulikana kuwa Syria ilitumia silaha za kemikali dhidi ya watu wake.  Syria imekanusha kuwa ilihusika na lile linalodaiwa kuwa shambulio lilofanywa Ghouta karibu na Damasvus juma lilopita, ambapo silaha za kemikali zilitumiwa.

Jenerali wa daraja ya juu wa Iran ameionya Marekani kwamba matokeo yanaweza kuwa mabaya iwapo Marekani itapindukia ule aliosema "mstari mwekundu" nchini Syria.
Matamshi hayo ya naibu mkuu wa jeshi la Iran, Massoud Jazayeri, yalichapishwa baada ya Rais Obama na waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, kukubaliana kwamba inafaa kujibu kwa uzito iwapo itagundulikana kuwa Syria ilitumia silaha za kemikali dhidi ya watu wake.
Syria imekanusha kuwa ilihusika na lile linalodaiwa kuwa shambulio lilofanywa Ghouta karibu na Damascus juma lilopita, ambapo silaha za kemikali zilitumiwa.
Similar Videos