Video Information
Jenerali wa daraja ya juu wa Iran ameionya Marekani kwamba matokeo yanaweza kuwa mabaya iwapo Marekani itapindukia ule aliosema "mstari mwekundu" nchini Syria.
Syria imekanusha kuwa ilihusika na lile linalodaiwa kuwa shambulio lilofanywa Ghouta karibu na Damascus juma lilopita, ambapo silaha za kemikali zilitumiwa.