Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Ujumbe wa wakala wa IAEA wawasili Tehran

Views:
Video Information

Wawakilishi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA wamewasili Tehran. Wawakilishi wa IAEA ukiongozwa na Herman Nackaerts Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia alfajiri ya leo wamewasili hapa mjini Tehran. Kwa mujibu wa ripoti hiyo ujumbe wa IAEA umepokelewa na Ali Asghar Sultaniye Mwakilishi wa Iran katika wakala wa IAEA. Wawakilishi wa IAEA kesho watakuwa na mazungumzo ya kiufundi na maafisa wa nyuklia wa Iran na pande mbili hizo zitajadili na kubadilishana mawazo kuhusu kadhia ya nyuklia. Duru ya sita ya mazungumzo ya Iran na wakala wa IAEA ilifanyika hapa Tehran tarehe 13 Disemba mwaka jana.
Similar Videos