Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

Rais Magufuli aweka jiwe la msingi miradi miwili mikubwa

Views:
Video Information
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi katika miradi miwili mikubwa ambao ni mradi wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda miji ya Tabora, Igunga na Nzega na mradi wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Tabora na amefungua barabara mbili za Tabora.

Soma taarifa kamili:


Na Emmy Mwaipopo
Similar Videos