Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

PICHA STUDIO YA RAYVANNY

Views:
Video Information
Ikiwa imepita miezi miwili tangu boss wa WCB, Diamond Platnumz aweke wazi kuwa Rayvanny anatarajia kufungua studio hatimaye imekamilika.

Kama ilivyokwisha tangazwa kuwa prodyuza Rash Don ndiye atahusika katika kusuka beat ndani ya studio hiyo, hadi sasa wasanii kama Dogo Janja na Madee wameonekana wakijiachia ndani ya studio hiyo, pengine kuna kazi inakuja. Tazama picha zaidi.





Picha na Mtandao
Similar Videos