Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

“Nikiondoka hakuna atakayekuwa kama mimi” – kauli 7 za Rais JPM Singida leo

Views:
Video Information



Rais Magufuli leo July 25, 2017 ameendelea na ziara yake ambapo alikuwa katika Mkoa wa Singida alikozindua Barabara ya Manyoni – Itigi – Chaya yenye urefu wa km 89.3 ambapo mbali na kufanya uzinduzi huo alipata nafasi ya kuhutubia wananchi.
Nimekusogezea mambo 7 makubwa kati ya mengi aliyozungumza kwenye hotuba yake.

CHANZO MILLARD AYO
Similar Videos