Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

LIGI KUU ENGLAND ILIANZA JANA JUMAMOSI AUGUST 13 BINGWA MTETEZI LEICESTER WAKIONA CHA MTEMA KUNI..

Views:
Video Information
Wachezaji wa HullSnodgrass amefunga bao la ushindi dakika ya 55                
 
Mabingwa watetezi wa Ligi ya England Leicester City wameanza msimu wa 2016/17 kwa kuchapwa ugenini na Hull City.
Leicester wamechapwa 2-1, mabao ya Hull yakifungwa na Adama Diomande (46+2') na Robert Snodgrass (55').
Bao la kufutia machozi ya Leicester City limefungwa na Riyad Mahrez kupitia mkwaju wa penalti dakika ya 47.
Leicester City                           
Leicester City ndio mabingwa wa kwanza watetezi kushindwa mechi ya kwanza ya msimu uliofuata kutwaa ubingwa enzi ya Ligi ya Premia.

Matokeo ya mechi zilizochezwa Jumamosi

  • Hull 2-1 Leicester
  • Burnley 0-1 Swansea
  • Crystal Palace 0-1 West Brom
  • Everton 1-1 Tottenham
  • Middlesbrough 1-1 Stoke
  • Southampton 1-1 Watford
Similar Videos