Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

unaweza kutizama video ya madee na Millard Ayo

Views:
Video Information
Kutana na msanii wa bongofleva Madee, ametangaza kwamba sasa hivi hataki tena kuimba nyimbo za shida tena ni midundo ya kuparty tu, single yake mpya inaitwa ‘migulu pande‘ na inatarajiwa kuachiwa anytime kuanzia sasa, 
Similar Videos