Video Information
>>JUMATANO KIBARUA KIGUMU KWA CHELSEA DHIDI YA PSG!UEFA CHAMPIONZ LIGI
RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
Marudiano
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku isipokuwa inapotajwa
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza
JUMANNE 8 MAR 2016
Real Madrid v AS Roma [2-0]
VfL Wolfsburg v KAA Gent [3-2]
JUMATANO 9 MAR 2016
2000 Zenit St Petersburg v Benfica [0-1]
Chelsea v Paris St Germaine [1-2]

Real Madrid, ambao Jumanne wako kwao Santiago Bernabeu kurudiana na AS Roma, walishinda Mechi ya Kwanza 2-0 wakati VfL Wolfsburg waliichapa KAA Gent na Kesho Jumanne wapo kwao huko Germany.
Jumatano pia zipo Mechi 2 za Marudiano ambapo Zenit Saint Petersburg wapo kwao Urusi huku wakiwa nyuma kwa Bao 1-0 walipofungwa Mechi ya Kwanza na Benfica.
Uwanjani Stamford Bridge, Jijini London, Chelsea, baada ya kuchapwa 2-1 na Paris St Germaine huko Paris, France, wanahitaji ushindi wa 1-0 au zaidi ili wafuzu.
Wiki ijayo, Raundi ya Mtoano ya Timu 16 itakamilika kwa Mechi 4.
REFA: A Mateu Lahoz (Spain)
UEFA CHAMPIONZ LIGI
RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
Marudiano
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku isipokuwa inapotajwa
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza
JUMANNE 15 MAR 2016
Atletico Madrid v PSV Eindhoven [0-0]
Man City v Dynamo Kiev [3-1]
JUMATANO 16 MAR 2016
Barcelona v Arsenal [2-0]
Bayern Munich v Juventus [2-2]
TAREHE MUHIMU:
Raundi za Mtoano:
-Droo ya Robo Fainali: Machi 18
**Mechi Aprili 5/6 na Marudiano Aprili 12/13
-Droo ya Nusu Fainali: Aprili 15
**Mechi Aprili 26/27 na Marudiano Mei 3/4
FAINALI
Mei 28
San Siro, Milan, Italy