Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

UEFA CHAMPIONZ LIGI: REAL, WOLFSBURG KUFUZU ROBO FAINALI JUMANNE.

Views:
Video Information
>>JUMATANO KIBARUA KIGUMU KWA CHELSEA DHIDI YA PSG!
UEFA CHAMPIONZ LIGI
RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16

Marudiano
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku isipokuwa inapotajwa
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza
JUMANNE 8 MAR 2016 
Real Madrid v AS Roma [2-0]
VfL Wolfsburg v KAA Gent [3-2]

JUMATANO 9 MAR 2016 
2000 Zenit St Petersburg v Benfica [0-1]
Chelsea v Paris St Germaine [1-2]

UCL-SIT-SAFIMechi za Marudiano za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 za UEFA CHAMPIONZ LIGI, UCL, zitaanza Jumanne Usiku kwa Mechi mbili ambazo Real Madrid na VfL Wolfsburg wapo katika nafasi nzuri kutinga Robo Fainali baada ya kushinda Mechi za Ugenini.

Real Madrid, ambao Jumanne wako kwao Santiago Bernabeu kurudiana na AS Roma, walishinda Mechi ya Kwanza 2-0 wakati VfL Wolfsburg waliichapa KAA Gent na Kesho Jumanne wapo kwao huko Germany.

Jumatano pia zipo Mechi 2 za Marudiano ambapo Zenit Saint Petersburg wapo kwao Urusi huku wakiwa nyuma kwa Bao 1-0 walipofungwa Mechi ya Kwanza na Benfica.

Uwanjani Stamford Bridge, Jijini London, Chelsea, baada ya kuchapwa 2-1 na Paris St Germaine huko Paris, France, wanahitaji ushindi wa 1-0 au zaidi ili wafuzu.

Wiki ijayo, Raundi ya Mtoano ya Timu 16 itakamilika kwa Mechi 4. 

REFA: A Mateu Lahoz (Spain)
UEFA CHAMPIONZ LIGI
RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
Marudiano
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dakika 45 Usiku isipokuwa inapotajwa
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi za Kwanza

JUMANNE 15 MAR 2016
Atletico Madrid v PSV Eindhoven [0-0]
Man City v Dynamo Kiev [3-1] 
    
JUMATANO 16 MAR 2016
Barcelona v Arsenal [2-0]
Bayern Munich v Juventus [2-2]

TAREHE MUHIMU:
Raundi za Mtoano:
-Droo ya Robo Fainali: Machi 18
**Mechi Aprili 5/6 na Marudiano Aprili 12/13

-Droo ya Nusu Fainali: Aprili 15
**Mechi Aprili 26/27 na Marudiano Mei 3/4

FAINALI
Mei 28
San Siro, Milan, Italy
Similar Videos