Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

MBUNGE WA MOSHI MJINI AFANYA ZIARA KATIKA MASOKO YA MJI HUO.

Views:
Video Information
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Jaffar Michael afanya ziara ya kutembelea masoko yaliyopo mjini Moshi kwa kusikiliza kero mbalimbali za wafanyabiashara zinazowakabili.

Bw Jaffar alikuwa ameambatana na mstahiki meya wa manispaa ya moshi Bw Raymond Mboya walitembelea masoko mbalimbali kwa kusikiliza kero mbalimbali na kuona namna gani ya kuboresha masoko hayo.

Miongoni mwa masoko yaliyotembelewa ni pamoja na soko la pasua,soko la majengo,soko la mbuyuni,alikutana na kero mbalimbali ambazo zinawakibili wafanyabiashara katika hayo msoko mh Jaffar aliyofanya ziara.


Mbunge huyo Mh,Jaffar alipata fursa ya kumsikiliza kiongozi wa soko la mbuyuni aliyejulikana kwa jina la Lameck ambaye aliweza kumweleza matatizo ambayo wanakutana nayo wawapo sokoni hapo pamoja na kumuomba aweze kutatua kero ambazo ameweza kukutana nazo katika hayo masoko.
Similar Videos