Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

WOLPER ASEMA YEYE SIYO MSAGAJI

Views:
Video Information

Akizungumza na Global Publisher, Wolper amesema
anaumia kwakuwa yeye ni mchamungu.
“Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui
niongee nini ili jamii inielewe kile
nitachokizungumza, ni ngumu sana kufanya hicho
kitu ambacho najua hakimpendezi Mungu kivyovyote
vile,” alisema.

Similar Videos