Video Information

Bao hilo la ushindi lilifungwa na Marouane Chamakh kwa kichwa katika Dakika ya 42 baada ya kuunganisha krosi ya Barry Bannan.
Palace wangeweza kufunga Bao nyingi kama si uhodari wa Kipa Jussi Jaaskelainen kuokoa Mipira miwili ya Jason Puncheon na Cameron Jerome.
Ushindi huu umewatoa Crystal Palace mkiani na kupanda juu ya Sunderland iliyobaki mwisho kabisa.
Mechi hii ilikwisha kwa rabsha pale Mchezaji wa zamani wa Manchester United, Ravel Morrison, anaesifika kwa utukutu, kumsukuma Beki wa Palace Joel Ward kwa mkono usoni wakati Mpira umekwisha na Refa kumpa Kadi ya Njano ambayo itamfanya aikose Mechi ijayo ya West Ham dhidi ya Liverpool kwa vile amekusanya jumla ya Kadi za Njano 5 na hivyo kufungiwa Mechi moja.
Leo Usiku zipo Mechi 9 za Ligi Kuu England.
VIKOSI:
Crystal Palace: Speroni, Ward, Gabbidon, Delaney, Moxey, Jedinak, Dikgacoi, Bannan, Puncheon, Chamakh, Jerome
West Ham: Jaaskelainen, O'Brien, Collins, Tomkins, Rat, Noble, Nolan, Morrison, Downing, Diame, C.Cole
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumatano Desemba 4www.sayariblog.blogspot.com
22:45 Arsenal v Hull City
22:45 Liverpool v Norwich
22:45 Man United v Everton
22:45 Southampton v Aston Villa
22:45 Stoke v Cardiff
22:45 Sunderland v Chelsea
22:45 Swansea v Newcastle
23:00 Fulham v Tottenham
23:00 West Brom v Man City
MSIMAMO:
NA
|
TIMU
|
P
|
GD
|
PTS
|
1
|
Arsenal
|
13
|
17
|
31
|
2
|
Chelsea
|
13
|
13
|
27
|
3
|
Man City
|
13
|
25
|
25
|
4
|
Liverpool
|
13
|
9
|
24
|
5
|
Everton
|
13
|
8
|
24
|
6
|
Newcastle
|
13
|
1
|
23
|
7
|
Southampton
|
13
|
6
|
22
|
8
|
Man United
|
13
|
5
|
22
|
9
|
Tottenham
|
13
|
-3
|
21
|
10
|
Hull
|
13
|
-4
|
17
|
11
|
Aston Villa
|
13
|
-1
|
16
|
12
|
West Brom
|
13
|
-1
|
15
|
13
|
Swansea
|
13
|
-2
|
15
|
14
|
Norwich
|
13
|
-12
|
14
|
15
|
West Ham
|
14
|
-3
|
13
|
16
|
Stoke
|
13
|
-6
|
13
|
17
|
Cardiff
|
13
|
-9
|
13
|
18
|
Fulham
|
13
|
-13
|
10
|
20
|
Crystal Palace
|
14
|
-14
|
10
|
19
|
Sunderland
|
13
|
-16
|
8
|