Video Information

Raisi Jakaya M. Kikwete akiwasili kwenye uwanja wa Taifa wa Uhuru ili kuwaongoza watanzania katika maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika. Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 tarehe 9 Desemba. Watanzania wengi wamekusanyika kwenye uwanja wa Uhuru ili kuweza kuungana na watanzania wengine katika maadhimisho hayawww.sayariblog.blogspot.com