Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

HIZI HAPA PICH 19 RASMI ZA VIONGOZI WA TASWA WALIVYOZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU BONANZA LA VYOMBO VYA HABARI LINALOFANYIKA JUMAPILI TAREHE 8/09/2013 VIWANJA VYA GENERAL TYRE

Views:
Video Information

Katikati ni Mwenyekiti wa Taswa  Arusha Bwana  Mussa Juma akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari na kulia kwake ni Mwenyekiti Msaidizi Taswa Bw Andrea Ngobole huku kushoto akiwa mhamasishaji wa michezo kutoka TBL.




Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Taswa

Moja ya Muimbaji kutoka katika Bend ya Vita Mult Band akizizungumza na waandishi wa habari jisi watakavyowapagawisha mashabiki

Makamu Mwenyekiti wa Taswa Andrea Ngobole akizungumza jambo na Mjumbe wa Taswa Bwana Shija






Mhamasishaji wa michezo kutoka TBL Bwana Deodatus Katambi akizungumza jambo na waandishi wa habari





Bwana Andrea Ngobole akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari katika mkutano na wandishi wa habari





Katikati ni Mwenyekiti Taswa akishangalia baada ya mwimbaji wa band kuimba akapela

Bonanza hili la Nane la vyombo vya habari tangu kuanza kwa mashindano hayo linatarajia kufanyika tarehe 8/9/2013katika viwanja vya GENERAL TYRE ,kuanzia asubuhi ambapo timu mbalimbali zinatarajia kushiriki katika mchuano  huo mkali ambapo mabingwa watakabithiwa KOMBE pamoja na kitita cha shilingi laki mbili na nusu,na mshindi wa pili atakabidhiwa shilingi laki moja,Pia wachezaji bora wa Football na Netball watakabidhiwa kitita cha shilingi  elfu hamsini kila mmoja,Burudanwi pia Itakuwepo ambapo VITAMULT BAND magwiji wa kwa watu maalum duniani  Watatumbiizaa
exclussive Kwako mdau kuwa Mgeni rasmi siku hiyo ni mkuu wa wilaya ya Arusha na waliodhamini bonza hili ni TBL,TANAPA,MEGA TRADE,COCACOLA NA PEPSI.
POPOTE PALE ULIPO MDAU USIKOSE KUSHIRIKI KATIKA TAMASHA HILI KWANI KIINGILIO NI MIGUU YAKO MWENYEWE
Similar Videos