Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

MAJERUHI CHELSEA NA MAN U

Views:
Video Information
Man United
Rafael (hamstring) atakua nje mwezi mzima, Nani (groin), Ashley Young (ankle) na Javier Hernandez (hamstring) hawa hawatohusika kwa upande wa Man United leo usiku.
Chelsea
Mlinzi David Luiz kuna mashaka kama atashiriki ama la kutokana na hamstring problem.
Inategemewa bosi wa Blues Jose Mourinho anaweza kaanza na Romelu Lukaku katika safu ya ushambulizi.
Similar Videos