Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWAONGOZA WAZAZI KWENYE MAADHIMISHO YA 10 YA SIKU YA WAZAZI KATIKA SHULE YA BWAWANI SEKONDARI

Views:
Video Information
PIC - 2Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(kushoto) akikagua Maktaba Kuu ya Shule ya Bwawani Sekondari  inayomilikiwa na Jeshi la Magereza  Agosti 23, 2013 kabla ya  kuzungumza na Wazazi kwenye Maadhimisho ya 10 ya Siku ya Wazazi (kulia) ni Mkuu wa Shule hiyo, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Hamza Rajabu.
PIC - 4Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(kushoto) akiweka jiwe la Msingi la Darasa litakalotumiwa na Wanafunzi wa Kidato cha Tano wanaotarajiwa kujiunga na  Shule ya   Bwawani Sekondari katika Michepuo ya HGL na HGK kabla ya kuzungumza na Wazazi kwenye Maadhimisho ya 10 ya Siku ya Wazazi (kulia) ni Mkuu wa Shule hiyo, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Hamza Rajabu.
PIC - 5Kikundi cha Sanaa cha Shule ya Bwawani Sekondari wakitumbuiza mbele ya Mgeni Rasmi, Kamishna wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(hayupo pichani)  kwenye Maadhimisho ya 10 ya  Siku ya Wazazi(Parents Day)  Agosti 23, 2013 katika viwanja vya Shule hiyo.PIC - 6Baadhi ya Wazazi waliohudhuria Maadhimisho ya 10 ya Siku ya Wazazi katika Shule ya Bwawani Sekondari wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Kamishna wa Magereza Nchini, John Casmir    Minja(hayupo pichani)  kwenye Maadhimisho ya 10 ya  Siku ya Wazazi(Parents Day) Agosti 23, 2013 katika viwanja vya Shule hiyo inayomilikiwa na Jeshi la Magereza.  (Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza)
PIC - 3Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja(kushoto) akiangalia Maonesho Maalum ya Kitaaluma kutoka kwa Wanafunzi wa Shule ya Bwawani Sekondari  inayomilikiwa na   Jeshi la Magereza leo Agosti 23, 2013 kabla ya  kuzungumza na Wazazi kwenye Maadhimisho ya 10 ya Siku ya Wazazi(Parents Day).
Similar Videos