Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

CCM yatekeleza ahadi kwa aslimia 90 Rorya

Views:
Video Information
Mbunge wa jimbo la Rorya, Lameck Airo Mbunge wa jimbo la Rorya mkoani mara Lameck Airo amesema utekelezaji wa ahadi zilizotolewa na chama chamapinduzi (CCM) wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 umekamilika kwa asilimia tisini katika jimbo hilo.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Mwanza, Airo amewataka wananchi wa Rorya kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo zinazofanywa na serikali na wadau mbalimbali kwa kufanya kazi kwa bidii ili kufanikisha utekelezaji wa asilimia kumi ya ahadi zilizosalia ikiwemo ya ujenzi wa barabara ya mika hadi shirati kwa kiwango cha lami kabla ya juni 2015.
Similar Videos