Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

WASANII WA HIPHOP WALIVYO KAMUA KWENYE TAMASHA LA AIRTEL

Views:
Video Information
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrByRJuZffQ4DEKC0n5HsDyw3vShcLeHXE2lkR4VQnEEUv2yszIFdKYyMWQJJctmV2uNfSuaUWccdiKOmoaMHiLvCaCWntdEK-EIQn5qDgkOmdo5sBOXGC7QCD0QkWdE5GsbjF0fY3z-TV/s1600/1+(2).JPG
Msanii wa kizazi kipya, Faridi Kubanda maarufu kama Fid Q, akitumbuiza wakati wa tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaJrQUlopRmKlbg7f2rOy0VhiYDdUT1A0sQICh-TPfAvOsd7MA4AjLUW8L1mQmpKNblgfTJ-hph64LIW5FwjUhLhazqNooS79ZMWSi_pazUx1-OCKOBEe0dPUJJGFg9H_TB07vIsbTQY3N/s1600/11+(2).JPG
Msanii maarufu wa kizazi kipya, Sir. Juma Nature, akimwaga burudani katika tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifch_q6ojjip3u28MjY_TEWAcXLl-If99DDVRhLaW28j97dycE18tmJBKQ2nKGDH95tAmBIekTzSLPxCmvf6WKvYipsxwU7_IkH3PAdqNYtNVcfUufdhSyFhQwaN0Y7fGlhYKZXwLPQ8tW/s1600/12+(2).JPG
Msaninii maarufu wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, akiwapagawisha wapenzi wake katika tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZPwz6sbs5ooiO0y_cqFaz6NwuT0Ma43tOolNNjoRmwMwYa8GQ7hdzlSXIfG1qB-TpgbCLG8b_GT4LzzCexw01w1JqYsE19yYplRxv8NMxA1aBSurSS-ISwczhRQtGzpHlztZmV7Hc8Una/s1600/3+(2).JPG
Kundi la sarakasi la la jijini Dar es Salaam likitoa burdani  kwa maelfu ya Watanzania waliohudhuria tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5LazICyrmKHZNiHeGAz8SwkPhsYg2gN2YPMILS0Z8aTyoSa8djWshgOMmclGUTHarZ0FMmIXv8sNZPLCFE_erLGyeQ6z61heu0aCQ6uZdxaXHyXHohQ0I0-0DxW6UYid-fqN0B4zyaYIW/s1600/10+(2).JPG
Mkuu wa Majaji (JB), akimiliki steji na msanii nguli wa Bongo fleva, Sir. Juma Nature  (hayupo pichani) wakati wa tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0st_Ou-FVHE0STAWFFCRWm2K9krw_Pkl0sscUoZv_kppslFtpkQrxiRx7m9aclZQZa0_QYp-ZxaNWwAyFR2BhBewoyHbhf4qazOeO2ZuRALeNq5YkOi-SSUe-RCic5NzwhB5Q4TFLz5xE/s1600/6+(2).JPG
Umati wa watu  waliohudhuria tamasha la Airtel Yatosha jijini Dar es Saalam wakipata burudani huku wakishika mabango ya kuwashangilia wasanii mahiri wa kizazi kipya katika tamasha la Airtel Yatosha.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDX7nwfuXU-AX69I2_4Immh0-rtK3kwxPhXc2HwzvA8tyEKWPbggxfC64Mhyl4xHmNjd-k4Nwbj0QPdQ93yN3LZEFIc1F7pvw9g1gGFd9fqW2tsEl3HXrd6qZN6Ts4IYetG8vHZ-ST9nrE/s1600/8+(2).JPG
Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel, Levi Nyakundi, akibadilishana mawazo na Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando wakati wa tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa wiki.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDeOTTrJ0cq_Xa5auVS6UEBzqgnZ_TiQ_Sl1PclevZC771T1wofdqph6fzVTH9gIkOH_3R55IDYWogwJESAfM6_dshPCq8XFM1hD-IP6UiTuVTZuUBPZB7u9QvoK6kmUXP_Kxb3p6usIw_/s1600/9+(2).JPG
Msanii wa kizazi kipya maarufu kama Ney Wamitego akimwaga burudani kwa mashabiki na wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakati wa tamasha la Airtel Yatosha lililofanyika Coco beach jijini Dar es Saalam mwishoni mwa wiki.
wiki.
Similar Videos