Video Information
Staa wa muziki kutoka Nigeria Wizkid ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuandamwa na fununu za kwamba mapenzi ya jinsia moja yako ndani yake, yani ni shoga.
Taarifa kutoka Naija ni kwamba mrembo huyu Omotoni Omotayo ambae yuko chuoni Marekani ni mtoto wa tajiri mmoja wa Kinigeria, wanaishi Marekani.