Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

WANACHUO WAASWA KUDUMISHA NIDHAMU

Views:
Video Information

Andrea Ngobole

Andrea Ngobole mkufunzi  na  mshauri wa wanafunzi katika chuo cha uandishi wa habari Arusha

Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha wameaswa kuwa na nidhamu wawapo chuoni hapo.
Hayo yamebainishwa na mkufunzi wa cho hicho Bw.Andrea Ngobole ambaye pia ni mleziwa wanfunzi chuoni hapo wakati akifanya mahojiano na habaribattle blog ofisini kwake jana mchana.
Alisema kuwa wanafunzi wengi wamejisahau katika nidhamu ambayo ni chachu ya mafanikio kwani wanafunzui wamesahau sheria,kanuni na taratibu zilizowekwa na chuo hicho kwani wanafunzi hawazifuati pia hawazizingatii.
Bw.Ngobole alisisitiza kwa kuwataka wanafunzi kuwa makin I chuoni hapo na kutasmbua ni nini haswa kilicho waleta chuoni hapo na kuachana na mambo ya mikumbo kwani ndiyo chanzo cha kutokuwa na maadili na badala yake wanadanganyana.
Ngobole alihitimisha kwa kusema kuwa uongozi wa chuo hautafumbia macho kwa mwanafunzi ambaye hatakuwa na nidhamu awapo chuoni hapo na kupewa adhabu ambayo itakuwa ndio fundisho kwa wanafunzi wengine kuwa na nidhamu.
Similar Videos