Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

SAJUKI WA BONGO MUVI AMEFARIKI DUNIA

Views:
Video Information
Aliyekuwa mwigizaji daraja la kwanza katika tasnia ya filamu Tanzania Juma Kilowoko 'Sajuk'i amefariki dunia,
Taarifa kutoka vyombo kadhaa vya habari ambazo pia zimesibitishwa rasmi na msanii mwingine mkongwe katika tasnia hiyo Suzane Lewis 'Natasha' zinasema kuwa ‘Sajuki’ amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alikokuwa kufuatia tukio la kudodoka jukwaani jijini Arusha mwishoni mwa mwaka uliopita, wakati alipokuwa akitoa salamu za shukurani kwa Watanzania kumuombea na kumchangia kwa hali na mali wakati alipokuwa kwenye matibabu nchini India.R.I.P SAJUKI DAIMA TUTAKUKUMBUKA.
Similar Videos