Matangazo

ZILIZO KUPITA HIZI HAPA.

Bongo Flava ni sawa na mtoto anayelelewa na mama peke yake

NDOA YA MERCY JOHNSON YAJIBU

Views:
Video Information
 Mercy Johnson ni miongoni mwa wasanii walio katika kumi bora ya wale waigizaji wakike wakali na bora nchini Nigeria.Mwaka 2012 ameufunga vizuri baada ya kujipatia mtoto wake wa kwanza wa k***.
 Mtoto alizaliwa akiwa na afya yake katika hospitali ya John Hopkins huko Baltimore Marekani.
 Mercy Johnson alifunga ndoa na mumewe Odianose Okojie mwezi wa nane mwaka 2011
Similar Videos