Video Information

Ghasia hizo zilianza baada ya wafuasi wa washtakiwa kupambana na polisi nje ya gereza wanamozuwiliwa.
Jeshi sasa limetumwa hapo.
Mwaka jana ghasia kwenye kandanda ziliuwa watu kama 70 baada ya mechi baina ya klabu ya Port Said na ile kutoka Cairo.
Polisi walilaumiwa kuwa hawakufanya kitu kuzuwia fujo hizo za mwaka jana.
bbc swahili